Katika mambo ya kuendeleza libeneke ndani ya oslo msanii aliyechengua katika shoo mbalimbali huku ulaya, Ali kiba, ameingia studio kurekodi pamoja na wakali wa rap kutoka senegal (picha ya juu) ambao wanatarajia kutoa singo pamoja na msanii Ali.

kwa jinsi anavyokubalika wadau wakae mkao wa kula.

Hassan,

oslo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2008

    Rafiki/ndugu yangu Mwita (Jo) uko wapi? Najua ndo yalikuwa mambo yako hayo (magoma) na enzi zako ningekuona hapo - au ndo wakati ushapita na ushajichimbia Lillehammer?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...