Mwakilishi wa Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania(MCT) Pili Mtambalike akimkabidhi vitabu viwili vya mapendekezo ya wadau kuhusu muswada wa sheria ya haki ya kupata habari, 2007 na mapendekezo ya wadau kuhusu muswada wa sheria ya vyombo vya habari, 2008 kwa Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Mh. George Mkuchika
Home
Unlabelled
muswada wa sheria ya haki ya kupata habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...