Mfanyakazi wa Zain Tanzania, Ramadhan Hassan akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kumpata mshindi wa sh. milioni 1 wa promosheni ya Endesha Ndoto Yako 2 ya Zain Tanzania, Aloyce Yambi wa Karatu. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania, Celine Njuju, Meneja Masoko (Kitengo cha Wateja) wa Zain Tanzania, Kelvin Twissa na kulia ni mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Abdallah Kahatu.
Home
Unlabelled
milioni moja ya zain yaenda karatu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Leo naona mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania kasahau kubeba peni na ka notebook :-)....bangaiza yao hao jamaa huwa inanichekesha sana
ReplyDeleteZAIN JARIBUNI KUMSAIDIA YULE DADA WA MWANANYAMALA ALIEZAA WATOTO WATATU KWA MPIGO WAWILI WANAUME NA MMOJA MWANAMKE NA HANA MTU WA KUMSAIDIA WALA MUME MTAPATA FUNGU LENU.
ReplyDeletekelvin you look old men take care of yourself hit the gym .
ReplyDelete