Marehemu Cassian Malima


Mwili wa aliyekuwa Mhariri wa HabariLeo, Cassian Malima (44), utaagwa leo na kusafirishwa kesho kwa mazishi mkoani Mara, imefahamika.




Kwa mujibu wa mdogo wa marehemu, Emmanuel Malima, Cassian, ambaye alifariki dunia juzi katika hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam, ataagwa nyumbani kwake Savannah, Tabata Mawenzi, kesho kuanzia saa 5 asubuhi.




Alisema baada ya shughuli hizo, mwili huo utapelekwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, tayari kusafirishwa Jumanne kwenda Musoma, ambako atazikwa Jumatano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Rest IN Peace. Amen

    SteveD.

    ReplyDelete
  2. Bwana ametoa, bwana amechukua, tunakuombea upumzike kwa amani,- Mate wako wa Urusi.

    ReplyDelete
  3. Rest in peace my friend, I will truly miss you.
    Amen

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...