January Makama akimwaga mada katika moja ya vikao vya vijana wa CCM
Mh. Lawrence Masha akiongea kwenye kikao hicho
Mh. Lawrence Masha akiongea kwenye kikao hicho
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
E bwana huyo sio Peter Mwanyika ni Deo Mwanyika wa Barrick Tanzania. Umekumbusha mbali lakini...yuko wapi yule nyanda?
ReplyDeleteMichuzi Na wewe Ulikuwepo kama Mwandishi,Mpiga Picha hapo au na wewe CCM? tunataka kujuwa tu kama Ni Mtu wa Siasa Je wewe Ni Chama Gani?
ReplyDeletekweli CCM Vijana iko juu! na hakika kama vijana tukiwa pamoja,basi tunaweza kujenga chama na Tanzania iliyo nzuri.
ReplyDeleteUshauri wangu kwa vijana wezangu ni wajaribu kuzingatia maadili mazuri ya kutojiusisha na vitendo vya ubinafsi nikamaanisha corruption,na vile vile tujaribu kutoa fikiria za kila mtu atako kuwa kiongozi lazima ale,nadhani ni muhimu kwa sisi vijana kujenga moyo wa kuitumia nchi yetu."we should not rule, but we should learn how to serve the nation".
hainidhuru kusema hivi,ilikuwa vizuri kwa vyama vya upinzani na wao wakatayarisha vijana wake,ili kuletea ushindi wa siasa hapo baadae,ambao ndio chimbuko la kijiletea maendeleo.
Pia,ccm vijana tujaribu kuacha siasa za malumbano na publicity,na kuzingatia siasa za kiutendaji ambazo ndio msingi wa modern politics of 21c,kwasababu ukitoa mchango kwa chama na taifa kwa ujamla,hautajificha utaonekana tu.
Tumeona balozi wa naniii,mbona wewe hukuonekana au hukuwepo? Sasa wawe na mawazo ya kujenga Tanzania na sio kukimbilia kuifisadi nchi, ndio hapo sipendi ccm
ReplyDeleteNi kweli mkuu tumewaona ila je wengi wao wana maanisha kweli au kwa kuwa siasa ni deal bongo?
ReplyDeleteJanuary Makamba, a future potential leader of Tanzania. Chaaange is coming to Tanzania!
ReplyDeleteHallellujah!
ndugu wadau, mimi natoa ushauri wa bure. january ndiye anayefaa kuwa rais 2015. john mashaka na dr. shayo hawafai kwa sababu wao siyo wana ccm, licha ya hayo mashakareza na marekani . january yeye anakaa hapa nchini na wakulima. january ni mtoto wa mkulima wakati mashaka ni mtoto wa fisadi. january ndiye anayefaa kuongoza hii nchi
ReplyDeleteKaka Michuzi, mbona hayo majina yamekaa kiaina fulani?
ReplyDeleteJanuary mikonozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
ReplyDeleteLord , please forgive them because they don't know what they are doing.
ReplyDeleteNataka kusema tu kwamba huyu mtu aliyepiga hizi picha ama anajali kazi yake, au yuko makini katika kazi yake ya upiga picha. Pamoja na heshima zote nilizonazo kwa DC wa nanihii katika fani yake ya upiga picha, mara nyingi anapenda kuminya "shutter button" kwenye "auto" setting ya kamera anazotumia. Ndo mara nyingi kwenye blog hii tunapata picha ambazo tunazithamini sana ila huwa ni "snap shots" tu na si picha za mpiga picha anayepaswa kuwa mahususi. haya si maneno mazuri lakini endeleza libeneke DC -- ila ukiweza na we japo mara moja moja upige picha kama hizi kwani unaziweza sana!! (Nitashangaa kujua kwamba ni wewe uliyepiga hizi picha!!)
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteMimi ninaona CCM wanajaribu kujenga CCM ilijengwa na Umoja wa Vijana wakati kina Mohamedi Seif Khatibu, Kikwete, Ditopile, Komba, lakini wapi chuo cha siasa Kivukoni. Makada wote wakereketwa wa CCM walipigwa msasa kwanza JKT na baadaye Chuo cha siasa kivukoni. Mimi ninaona ni wakati huu sasa Tanzania kuanzisha vyuo vya masomo ya jamii ambavyo vitakuwa na watalamu ambao watafanya hizi bila ya kuwa na kujadili maswala ya jamii na kuwakilisha jamii na watu wachache (group-misclassification-cofounding-biases). Sasa upati ukweli juu ya matatizo ya jamii.
Eti January ni mtoto ni mkulima. Thubutu. Hakuna mtoto wa mkulima anayeweza kuingia anga hizo. Mara ya mwisho mtoto wa mkulima kuingia anga hizo alikuwa Nyerere mwaka 1960.
ReplyDeleteKwenye picha ya juu kabisa Michuzi umeandika January Makama ndiyo maana watu wanadhani huyo Makama ni malalahoi ambaye hajawahi kusikika katika ulimwengu wa wenye nazo. Kwa wewe uliyesema January ni mtoto wa mkulima, anaitwa January Makamba.
ReplyDeletewadau, huyo aliyeshika hicho kitabu cha TUJISAHIHISHE kanifurahisha kama hapo alikuwa anawaambia wajumbe wakisome kitabu hicho. inabidi viongozi wetu nao wasome hilo desa na maneno yaliyopo humo wayaelewe na yafanyiwe kazi. Viongozi wetu ni WAOGA kukubali kuwa wamekosea pale inapotokea hivyo (NIJUAVYO NI MWALIMU TU NDIYE ALIWAHI KUKUBALI ALIPOKOSEA) I stand to be corrected.
ReplyDeletemdau desilamu
Kumbe CCM can be cool! Hongereni vijana wa CCM kazi nzuri. Mdau Misupu hii ilikuwa wapi?
ReplyDeleteHii kitu mbona haijakaa ki-CCM kabisa! Hapa ni wapi? Kama ni hivyo basi CCM kweli wamezinduka. Hongereni. John Mashaka na Dr. Shayo mko wapi?
ReplyDeleteInasitikisha sana kuona blog ya jamii inageuka kuwa ya wateule maana ukiweka views and comments ambazo zinamwelekeo wa kutetea maslahi ya watanzania siyo vingunge basi information hiyo inabaniwa ....anyway this is normal for Tanzanian media system lakini hata upipo i-publish hapa copy na natuma kwenye blg nyingine and iam sure my message will reach my audience.
ReplyDeleteThanks for support and effort to educate Tanzanian society.
Mkereketwa
CCM inatisha mjomba! hivi hawa wenye mawazo ya kuwa na vikao elekezi wametoka wapi? ama kweli CCM ni chama kubwa, hawapigi kelele wao wanachukua kelele za zinazopigwa na huko nje wanaziweka katika vitendo.
ReplyDeleteNa kama hawa jamaa wate niliowaona katika picha hizo hapo juu wako active katika mambo hayo basi CCM iko juu sana kwani huwezi kuwasikia hao wakilumbana hata siku moja.
CCM iko matawi ya juu sana mjomba, keep it up!!!! chapeni kazi vijana.
Vijana wa ccm my ass, wote watoto wa vigogo halafu mnaita Tanzania ni ya watanzania kumbe ni kurithishana tu madaraka, ushenzi mtupu ndio maana vijana wanaojua hili wote wanaukana UTZ wao, hauna maana.
ReplyDeleteAsante sana kaka Michuzi kwa kutuletea taarifa ya Michakato ya vijana katika harakati za kuliendeleza taifa letu Tanzania. Kwanza kabisa hongereni sana for those initiatives ambazo zinaonyesha jinsi gani mlivyo na upendo wa dhati kwa watanzania. Ni kweli vijana lazima tusimame kwa nguvu na kutetea masilahi ya watanzania wote bila kujali rangi zetu, itikadi zetu pamoja na uwezo wetu (Kifedha). Nimeshawishika sana kutoa mchango wangu baada ya kusoma comments mbalimbali zilizotolewa hapo juu. Nasikitika sana kusoma baadhi ya comments kweli inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wavivu wa kufikiri na siipatii picha Tanzania ya baadaye (15 years to come).Mimi binafsi siyo mfuasi wa chama chochote kile cha siasa, ila ni muumini wa yeyote yule mwenye nia ya dhati na ya kweli kabisa katika kulisaidia Taifa letu la Tanzania. Na kuona kweli watu wake wanapata Maisha bora kama invyoainishwa na serikali ya CCM. Natoa wito wangu kwa vijana wenzangu huu ni wakati wa pekee katika historia ya ulimwengu ambapo mabadiriko ya kifikra yanazidi kuchukua nafasi yake. Tanzania ya leo sio sawa na ile ya miaka mitano iliyopita, wananchi wamechoshwa na kerere za kwenye majukwaa za kunadi sera ili kupata nafasi na sio kuwajibika kwa ajili yao. Tunachotaka sasa ni mabadiriko ya kweli yenye nia ya kumkomboa mtanzania kutoka katika hali ya utegemezi mpaka kujitegemea.Nchi yetu ni moja kati ya nchi zilizojaliwa kwa kuwa na rasilimali kibao ambazo kiuhalisia hazitusaidii watanzania. Leo mwananchi wa Nyamongo hafaidiki na Dhahabu iliyopo kwao. So we need to come with very concrete and innovative ideas ni jinsi gani tutawasaidia watanzania na tusikimbilie kwenye siasa kwasababu may be Baba yako ni mtu maarufu (Mwanasiasa) ama kutafuta ulaji kama ilivyo hivi sasa. Siasa za ukoo katika nchi hii hazina nafasi tena tunahitaji viongozi wenye vision nzuri na nia ya dhati kabisa dhidi ya watanzania. Tumechoka na malumbano ya hoja mara hii ya CCM, CHADEMA wametuibia. So an advice to my combrades lets stop all those we need to see changes wananchi tunataka maendeleo. Kwa mwenendo huu mnaoenda nao sasa wananchi tumewachoka CCM, otherwise you guys mbadirike lakini still mmelelewa katika misingi ya kifisadi na kubaguana. Na ndiyo maana majina ni yale yale kila kukicha utasikia some body Makamba amechaguliwa kuwa mwekahazina wa UVCCM. Tubadilike siyo lazima kuingia kwenye siasa ndiyo utaweza kuisaidia Tanzania. CCm isiwe kisima cha kwenda kutafutia ulaji kama mlivyo hivi sasa. Aluta continua.
ReplyDeleteActivist Non-politician
Nyagonde Stephen.
BREAKING NEWS!!!
ReplyDeleteKampeni ya January Makamba 2015 yazinduliwa kwa kishindo!!
Habari zaidi tembelea http://tinyurl.com/Makamba-2015
we Unaesema unaukana UTZ unakosea, lamsingi nawewe pigania hakiyako, nchi niyetu sote usitishike na hizo lcd projectors, hivyo nivitu vyakawaida sana sikuhizi kwenye mukutano, na kwa taarifa yenu sio huyo january, makamba wala mwingine yoyote aliye kaa hapo amefanya hayo, wana ajili kampuni tu ya kuandaa mikutano ndo wana anaandaa yote hayo, ni vijimambo tu vya kawaida sana sikuhizi!
ReplyDeleteMIMI ninacho sema nikwamba watanznia Vijana amkeni kila mtu anahaki yakuingia umoja wa vijana wa chama chochote na akapaza sauti yake kutetea wanyonge, kwahiyo msihofu.
Mimi kijana wenu nataka kuingia huko kuliendeleza libeneke lasiasa, mimi ni mtoto wa mlala hoi mwenzenu nta hitaji support kutoka kwenu,
kwasasa details zingine bado kapuni!!
Mdau.
The Finest, japo umenitosa but your work is impressive!!
ReplyDeleteAliyeshika kitabu kilichoandikwa tujisahihishe ni Togolani Mavura. Hongera sana mdogo wangu Togolani. Mungu akujalie maisha marefu uje kuwa raisi, waziri au mbunge.
ReplyDeleteHivi mkuu wa nanihii, naomba kuuliza kwa nini vijana wote wenye pesa na nafasi kubwa hata kwenye kampuni binafsi wako CCM, je ni kweli hakuna vijana masikini huko, au wao wenye pesa ni wakereketwa wa kweli wa CCM?, ni naogopa hawa watu wasije kuwa wanatafuta security ya chama tuu, na je ikitokea CCM ikashindwa Uchaguzi wataendelea kuwa wenzetu CCM, au wao ni wanachama wa chama tawala tu, na si CCM ? naomba kuwakilisha
ReplyDeletedah! jamaa wanarithishana tu, sisi makabwela tunaishia ukatibu kata na kadhalika... anga hizo utasikia majina ni hayo hayo. huo mkutano ulifanyika zanzibar, eti nasikia ulikuwa wa siri sana?!
ReplyDeletedawa yao kuwafwata huko huko ccm.sababu hawatoi nchi kwa kura
ReplyDeleteKuna mdau mmoja amedai ati Dr shayo na msahaka siyo wana CCM. Ningependa kuwaambieni kuwa ninavyomfahamu Dr shayo ni mwana CCM na pia mwana Umoja wa Vijana. Niliwahi siku za nyuma kutoa number ya kadi zake lakini michuzi ukazibania sijui kwa sababu gani labda uliona si vyema kutoa kadi za kijana wetu.
ReplyDeleteMashaka sina uhakika yeye yuko upande wa chama gani. Ila cha msingi
katika kuleta mabadiliko ya kweli na mazingira ya kuwawezesha vijana kumsaidia atakayeteuliwa kuwa raisi 2010 itikadi ya chama si hoja.
Tunataka vijana sio tu wamefika hapao walipo wa juhudi za kubebwa ila kwa uwezo wa kuweza kuona na kubuni mikakati ya kubadilisha mwelekeo wa taifa letu.
Mashaka anao huo upeo na ndiyo maana wameshaanza kufanya vitu vyao kwa pamoja na Dr shayo, na siku zi nyingi utawaona vijana hawa wakiwa pamoja.
Hawa ndiyo chachu ya fikra za kizazi kipya.
NANIHII NA WEWE HAUNA MPANGO WOWOTE MBONA SIJAWAHI KUONA PICHA ZA CAF HATA SIKUMOJA, ACHA UBAGUZI WA KISIASA! HALAF HAWA JAMAA MI NAONA HAWANA LOLOTE JIPYA ZAIDI YA KUSUMBULIWA NA NJAA!
ReplyDelete