Home
Unlabelled
white party ya mr gonga na JP yafana ile mbaya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nanii wa nanihii, hukwenda kwenye huu mnuso? Au Zefulanazi wozi noti alaudi?
ReplyDeleteP.E.D
FRANK MACHOZI NA JIDE ETI NI NDUGU? NILISIKIA WATU WANASEMA, PIA NAONA KAMA WAMEFANANA HIVI AU MACHO YANGU! MNITANABAISHE WADAUZZZZZ
ReplyDeleteUnawaleta hapo watoto watundu na Pisto za maji unaweka maji ya Tomato Sause Chafuwa mbaya hahahaa. watoto wenye machungu na maisha kule majalalani siku za zaka hizi muwakumbuke sio mnakumbuka white party tu lini black party?. Mzushi.
ReplyDeleteMichu. Zefulanas ilikuwa ya njano ndio maaana nanihii haonekani hapa?
ReplyDeleteBado Naked Party. Naked Party huwa ni maarufu sana huku mitaa ya Europa.Nimeshahudhuria sanna. Huwa ni tamu. Au kuna Sex Party ambazo ukiingia humo ni sex tu mtindo mmoja. Jinsi Globalization inavyoenda kwa kasi lazma hizi party zitafika Darisalama.
ReplyDeleteWoooooow!! Jamani TZ tambarare sanaaa...kumekucha sana, na kuna mvuto wa nguvu. Inaonekana watoto woote wanaokaa majuu wakishuka mambo yanachangamka kwa sana...safi sana, kila kitu kinaonekana poa. mzee nanihii asante kwa kutu apdati na vijinuuz vya wite pati..senkyuu veri machi.
ReplyDeleteKWENDA ZAKO MKUU WHITE PARTY IMEFANA WAKATI MADADA WANA VIPOCHI VYEUSI NA PINKI KIBAO... HIYO IMESHAFELI MKUU. P.DIDDY AKIONA HIYO ANAWEZA KUJINYONGA....KWAKE MPAKA MSOSI ULIKUA MWEUPE.... HIYO NDIO ILE TUNAITA BIGA UFE..
ReplyDeleteIts obvious that this party rocked japo kuwa sikuweza hudhuria. JP tuletee na huku Columbus basi.
ReplyDeleteKanzu white na kibarakashia white vinakubalika?
ReplyDeletehahaha
misupu umekosea, Boniluv hakupiga mangoma alikuja kula raha tu na mawaif wake, tulirushwa na peter mo na steve b wanafunzi wake...mzee mwenyewe alikula poz
ReplyDeleteama kweli bonny love kazeeka kweli manake nikikumbuka wakati wa shule tuko pamoja na wengine ambao kwa sasa ni marehemu yaani naona duuu kama mnamjua mwalim SHARIF hahaha ni viboko tu eti leo ni selebriti wa huko... kamichu narudi na mie please niweke kwenye hii blog na vipi wale watoto waliokuwa viziwi kule mbagala vipi kamichu mbona hutu updeti?
ReplyDeleteafu kweli pati ya puff didy ilifana sana ila wote tunajifunza leo ni white pati kesho ni blu na mwishoe labda globolizeshen basi ni uchi pati (over my dead body) haiji kutokea KAMWE. si mnaona zeutamu imeshakuwa marehemu?? so hii ya michuzi ni blog ya kistaarabu sana haina uswahili, congrats bro michu
ReplyDeletehaaahaaa kweli bongo tambarare na mimi nitaleta black part nitamualika na jk
ReplyDeleteMbona watu wa maraha ni hao hao? kila siku kwenye party tunaona sura hizo hizo wengine hawajui kuparty au wako kwenye FB
ReplyDeleteJamani watu walipendeza mnoooo...IS that FJ nakuona kwa mbaaali...ndo maana simuoni kwa LIBENEKE....FJ tutafutane plzz
ReplyDeleteSura zilezile!,Watu wanaona mbali hawana time na mambo yasiyo na tija hakuna vijana waliofanikiwa na wanaoheshimika bongo simwoni; Nehemiah Msechu(CEO CBA), Heri Bomani ( CEO KCB), Kelvin Twissa ( Head marketing ZAIN), David Minja ( Head marketing TBL), Mafuru ( Head marketing Voda), Imani Kajula ( Head Marketing and Communication NMB), Bashir ( CEO Stanbic) etc.
ReplyDeletenot bad lakini mpako empti ...mie sikuweza kudhuria maana fundi shabani hakumaliza ngo yangu .sasa swali nani alikuwa ze besti dress ?maana tuliambiwa tutapewa zawadi
ReplyDeleteJamani Miafrika kwa nini hivyo?
ReplyDeleteKila kitu ni kuiga iga tu si muwe creative jamani? Mngejitahidi kuwa wabunifu mkatoka na kitu cha Kiafrika hii tayari wenzenu wamesha ifanya nyie mnarudia tu.
Miafrika ndivyo tulivyo tutaendelea kuiga kila kitu. Mdau Fidel
ha ha haa ati humuoni kevin twisa we nenda tu facebook utamkuta amejaa tele tena kapiga full white kwani watu wakila raha siku za weekend ni crime? ati ooh fanyeni kazi kwani uliambiwa hao watu wooote kwenye hiyo party hawafanyi kazi jamani acheni wivuuuuuuuuuuu ukute we mwenyewe apeche alolo
ReplyDeletemdaus canada
Kuiga iga nini wewee hapo juu!! Unaongea pumba bila kuiga wewe ungefika hapo ulipo?? Kwanini usingebaki kwenu KIJIJINI Naminywili ukaendelea kuwinda ndezi,, hacha habari zako. Haloo Party Nyeupe kweli ilifana licha ya vikasoro vidogo vdogo tuu kama hao waliochanganya rangi mambo flani, lakini next time hop itakuwa mzuka zaidi.Big up mtoto wa Mwalimu Eliya (J.P)
ReplyDeletetutaiga sana enzi zilee kwenye arusi sisi wachaga ati ndafu ilikuwa inaitwa keki ebo kwi.. kwi.. kwi... kweli kuiga ni safi sana siku hizi kuna ndafu na keki utajiju kuiga ni poa sana watu wananyuka pamba za haja wana panda ndege business class kujichana na uma yoote hii ni kuiga kuifanya dunia imeremete na kuwa a better place for you and for me na uache kijiba cha roho basi usiitwe fidel manake limekaa kidhungu hilo jina ni la kijijini kwenu????
ReplyDelete