MZEE DAUDI JAMES NGALYA
(1919 - FEB. 24TH 2009)

LEO BABA YETU MPENDWA AMETIMIZA MWAKA MMOJA TANGU ALIPOITIKIA WITO WA BABA YETU ALIYE MBINGUNI TAREHE 24 FEBRUARY 2009 DODOMA MJINI.

UNAKUMBUKWA NA MKEO MDALA SOPHIA E. NGALYA, WANAO BERTHA, AUDREY, JAMES, ELISHA NA EDWARD, WAKWE ZAKO WAJUKUU NA VILEMBWE WOTE. PIA NDUGU, MAJIRANI WOTE WA MAKOLE DODOMA.

UTAKUMBUKWA DAIMA KWA UPOLE, USHESHI NA UTANI WAKO.

PIA FAMILIA INACHUKUA NAFASI HII KUWASHUKURU NDUGU NA MAJIRANI WOTE WALIYOMHUDUMIA WAKATI WA KUUMWA HADI KIFO CHAKE. TUNAOMBA MUNGU MWENYE REHEMA ZOTE AWATUNZE NA AWABARIKI KWA YOTE.

IBADA YA KUMBUKUMBU YA KUTIMIZA MWAKA MMOJA ITAFANYIKA KANISA LA MAKOLE DODOMA TAREHE 27/2/2010 JUMAMOSI.
MNAKARIBISHWA WOTE.

MUNGU ALITOA NA AMETWAA.

JINA LAKE LITUKUZWE MILELE AMIN.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Rest in Eternal Peace MABUYA
    AMEN
    ANGELINA W.

    ReplyDelete
  2. RIP babu ngalya

    Hekima Puzo.

    ReplyDelete
  3. I realy missed you, Mabuya
    mama Gody

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...