Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 21 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 21, 2010

    KASIM HANGA ALIYEKUWA MMOJA WA MAWAZIRI KARUME ALIMPELEKA WAPI? MAANA HATA KABURI LAKE HALIPO.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 21, 2010

    TIMU SAFI

    MAREHEMU ALHAJ IDRIS ABDULWAKIL ALIKUWA KIJANA

    MOLA AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 21, 2010

    Serikali ya vichwa vitupu!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 21, 2010

    Hii ndio ilikuwa timu ya ushindi na mafanikio. Sasa hivi mifisadi kibaoooo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 21, 2010

    Orodha haionekani vizuri. Ankal hebu iorodheshe pembeni badala ya kwenye picha. Huyo tall kushoto kwa Kawawa ni Moringe?

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 21, 2010

    Marekebisho kidogo siyo "the Dream team Team ya Kwanza" ni "the first and the Only Dream Team".
    Hawa ndio waliokuwa WAZALENDO.
    Tafadhali kaka Michuzi rekebisaha kichwa cha habari kidogo.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 21, 2010

    maandishi hatuyaoni apo chini wee michu

    ee mola tusaidie nchi yetu imeenda wapi??kwanini awa viongozi wanatufitini ivi na kutugeuza migulunyembe??

    tunaikumbuka hii historia ya pekee wazee wetu

    mafisadi mkome

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 21, 2010

    Simkosoi Bwana Michuzi bali aliyeweka majina kwenye hiyo picha. Wa kwanza kushoto mstari wa mbele siyo Tewa Saidi Tewa; ni Michael Kamaliza.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 21, 2010

    Anon.Fri May 21, 02:19:00 PM; Huyo alikuwa ni Bhoke Munanka, na si Moringe. Ila Moringe naye ni kichwa kingine, zamani bwana, zamani ni zamani tu. Achana na mawaziri wasio na wito heshima na kazi zao. Mpaka Rais awafanyie kazi zao!

    ReplyDelete
  10. OmarReganMay 21, 2010

    Mabaraza ya Mawaziri ya siku hizi yangekuwa na similar percentage of MUSLIM kama hili nchi ingekuwa mbali.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 21, 2010

    Eee Mola wetu, wako wapi viongozi kama hawa wa zamani hapa Tanzania? Hawa walikuwa viongozi wazalendo waliojali masilahi ya Taifa ingawa kuna wakati waligongana kimawazo lakini yote kwa masilahi ya Taifa.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 21, 2010

    AMA HAKIKA WALIKUWA VIONGOZI NA WAZALENDO WA KWELI. WALIKUWA NA NIA YA KUFANYA KAZI KWA FAIDA YA WANANCHI.

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 21, 2010

    namuona Chediel Yohane Mgonja hapo.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 21, 2010

    Kwa mtazamo wangu hawa ndio walikuwa viongozi wa kweli na wenye uchungu na nchi yao,na kama kunyakua au kujilimbikizia mali huko Swiss bank na kwingineko wao ndio wangevuna zaidi enzi hizo,sasa hivi nni bala tupu na hatuna viongozi kabisa.
    MUNGU IBARIKI TANZANIA.
    mdau Tabora.

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 21, 2010

    Hivi zamani suruali njiwa zilikuwa ndo fasion?

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 21, 2010

    Viongozi wa sasa wote wamelelewa na wafanyakazi wa nyumbani ndio maana vichwa maji,wezi na hawana muelekeo.

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 21, 2010

    OmarRegan said...
    Mabaraza ya Mawaziri ya siku hizi yangekuwa na similar percentage of MUSLIM kama hili nchi ingekuwa mbali.



    ....omar hapo juu...fafanua vema hapo hujaeleweka.....

    mdau.

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 22, 2010

    Kwa kuchangia tu kutoka kushoto mstari wa mbele: 1 Michael Kamaliza 2Hasnu Makame,3 Oscar Kambona,4 Abeid Karume,5 J.K.Nyerere,6 Rashid Kawawa, 7Abdul Wakil. mstari wa kati kuanzia kushoto 1Kasim Hanga,2 Amir Jamal,3 Lawi Sijaona,4 Aboud Jumbe,5 Said Maswanya. mstari wa nyuma kuanzia kushoto 1Dereck Bryson,2 Job Lusinde Malecela,4 Abdulrahman Mohamed Babu,5 Austin Shaba na mwisho ni Chediel Mgonja kwa ufupi hao walikuwa viongozi waliotaka kuwatumikia wananchi wao sio watawala ambao tunao sasa.walioweka mbele udugu , ukabila na udini huku wakila jasho la mtanzania mlala hoi( maskini) bila huruma waliojaa kiburi,ufisadi , dharau na kujiona kama wata tawala milele. naomba usiku na mchana kwa baba muumba awashushie ugonjwa wa matende na mabusha ameen. ziada katika list hiyo hapo juu waliobakia (Walio hai ni Aboud Jumbe na Job Lusinde Malecela ) wengine wote wameshatangulia mbele ya haki)
    Mdau Pakacha UK.

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 22, 2010

    LAWI SIAONA NAGWANDA NI CHINGA BOT NTU WA NEWALA, WENYEWE WANAITA
    KU-NIWALA. HAWAKUIBA HATA SENTI TANO YETU. JAMANI YEYOTE ANAETAKA KUYASOMA VIZURI HAYO MAJINA CHA KUFANYA NI KU-DOUBLE CLICK HIYO PICHA ITAKUJA KUWA KUBWA NA MAJINA YATASOMEKA VIZURI TU.

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 22, 2010

    Ninawapa 95% kwa uadilifu na kutokuwa na uroho na ulafi na ufsadi.

    Lakini katika uwezo wa kubuni mbinu za maendeleo nawapa 35%

    (US Bloggr)

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 23, 2010

    zidumu fikra sahihi za m/kiti wa ccm!!! ZIDUMUUUU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...