Kijana ambaye yuko kwenye £ovely Gamble anaitwa Kisiri Elly anacheza part ya Frank. Huyu actor chipukizi wa Kitanzania ambaye ameingia katika fani ya usanii wa filamu. Kisiri amecheza filamu hii na staa za kitaaluma unaweza kufikiri ni mzoefu wa siku nyingi. Hivi tuzungumziavyo kesha tafutwa na Nollywood na ataanza production ya 'Man Alone' itakayotengenezewa Lagos na London shooting itaanza August mpaka September.
Tumfagilie mbongo huyu ambaye anaanza carrier hii kwa kasiMahojiano haya yamefanywa na Watayarishaji wa kipindi cha ALL ABOUT WOMEN ambacho presenter wake naye ni Dada wa kibongo aitwaye Tina George, Kipindi hiko hurushwa kwenye vituo vya television vya AILTV na Ben TV huko UK.
Onyesho maalum la Filamu ya £ovely Gambl kuchangia watoto yatima wanaoishi na virusi vya UKIMWI Litafanyika
JUMAMOSI TAREHE 29/05/2010. SAA 12 Jioni MPAKA SAA 5 NA NUSU Usiku. WYCLIFFE VENUE, 233 KINGS ROAD,
READING, RG1 4LS
WATANZANIA WOTE WA UK MNAKARIBISHWA
wenye wivu sasa umefika wakati wa kujinyonga.
ReplyDeleteNiliwahi kuangalia filamu moja tu ya kibongo, haikunifurahisha. Ilipanbwa wee na watu tukajitokeza kuiangalia kumbe hofyooo. Hii nayo na nyingine nyingi, mbona ni ishu za wanawake na mapenzi tu? Anyway, labda ndio matakwa ya soko, I'm out.
ReplyDeletekila kitu kinawezekana.piga mzigo usije tu ukaendekeza madem!
ReplyDeleteDah!kaka inabidi sasa uwe makini na mambo ya madem.umeingia kwenye hii fani vyombo vya habari vinakuangalia.ukifanya kosa tunaitoa hewani.all the best
ReplyDeletewabongo mmeshaanza umbea,mademu gani shem yuko kwa dada yetu katulia.sasa amwogope nani?wivu tu hamna lolote
ReplyDelete