Meneja Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando(kushoto) akimkabidhi, Mkazi wa Mbezi Beach, Josephine Mwanjela ufunguo wa gari jipya aina ya Suzuki Grand Vitara baada ya kushinda katika promosheni ya 'Jisajili na Ushinde' nyumba, gari na pikipiki.Hafla hiyo ya kukabidhi zawadi hizo kwa washindi imefanyika leo katika viwanja vya fukwe ya Cocobeach jijini Dar.
Gari lililokuwa likishindaniwa likiwa limepaki kabla ya kukabidhiwa kwa mshindi.Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ukishuhudia zawadi zikikabidhiwa kwa washindi.
Gari lililokuwa likishindaniwa likiwa limepaki kabla ya kukabidhiwa kwa mshindi.Sehemu ya umati wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ukishuhudia zawadi zikikabidhiwa kwa washindi.
ama kweli kiswahili lugha ya taifa!
ReplyDeleteKwa nini probability ya hizi bahati nasibu huwa ni 100& kwa wakazi wa Dar hata washiriki wakiwemo wa mikoani?
ReplyDelete