Mkuu wa idara ya Afrika, Asia na Mashariki ya Kati wa Radio ya Ujerumani Dr Utter Schafer akipeana mkono na mtangazaji mkongwe wa Idhaa ya Kiswahili Bw.Ramadhani Ali huku mkuu wa idhaa ya kiswahili Andrea Schmidt akiangalia jioni hii katika ofisi za radio hiyo maarufu duniani mjini Bonn katika mnuso mdogo wa kumuaga rasmi mkongwe huyu baada ya kupiga mzigo hapo DW kwa miaka zaidi ya 40.
Mkuu wa Idhaa Andrea Schmidt akiwa na Ramadhani Ali akiwa kakumbatia rundo la zawadi alizopewa baada ya kuitumikia idhaa ya kiswahili kwa miaka zaidi ya 40 ambapo leo amestaafu na kuagwa rasmi
Watangazaji nguli toka shoto Sekione Kitojo 'Bundes', Ramadhani Ali,
Mkuu wa Idhaa Andrea Schmidt akiwa na Ramadhani Ali akiwa kakumbatia rundo la zawadi alizopewa baada ya kuitumikia idhaa ya kiswahili kwa miaka zaidi ya 40 ambapo leo amestaafu na kuagwa rasmi
Watangazaji nguli toka shoto Sekione Kitojo 'Bundes', Ramadhani Ali,
heh jamani watangazi wengine nilikua nasikia tu majina yao nikiwa mdogo...Aboubakary Liong na Sekion Kitojo ...Hee nimekumbuka zama za kale... Sauti zao zilikua nzuri sana...Hiyo redio Ujerumani ya kiswahili tunaiipataje kwenye internet?
ReplyDeleteHeh jamani huyu babu atarudi bongo au ndo ashakuwa raia German?
ReplyDeleteHappy October 1st Beer Festival in Germany..
ReplyDeleteKuleni pombe wakongwe.
Jamani caption ya hiyo ya picha ya pili toka juu inasema huyu mstaafu kakumbatia "rundo" la zawadi.. jamani mi naona kashika ki box cha redio.. sasa hilo rundo la zawadi li wapi? hebu tuwe makini kuandika caption
ReplyDeleteGood! time to spend your pensions.
ReplyDeleteDont swap jobs like Tido.
you really had great career,ur already missed!
Kumbe Abubakar Liongo yupo Deutsche Welle? Nilikuwa najiuliza kapotelea wapi.
ReplyDelete