Ifuatayo ni orodha ya pili iliyotolewa na TCU ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na masomo katika na vyuo vikuu mbalimbali nchini. Orodha hii inajumlisha vyuo vifuatavyo: ARU, WBUCHS, CBE (DSM & DODOMA), CDTI, UDOM, DIT, HKMU, IAA, IFM, IMTU, IUCO, SJCET, SJIIT, KCMCO, KIU, MIST, MUCOBS, MUHAS, MUCO, MMU, MNMA, MU, MWUCE, OUT, na IRDP . Orodha iliyotolewa awali kwa vyuo vingine, tafadhali bofya hapa.

Ukiwa na swali au maelezo yoyote kuhusiana na orodha hii, usiutume ujumbe wako wavuti.com kwani hautashughulikiwa, bali unapaswa kuwasiliana na TCU katika anwani yao:
Tanzania Commission for Universities,
P. O Box 6562,
Dar es Salaam.
Phone +255 (0) 22 2772657,
Fax: +255 (0) 22 277289
credit source: http://www.wavuti.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...