Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk Batilda Burian akimwagilia maji mti mara baada ya kuupanda kwenye maeneo ya machimbo ya kiwanda cha saruji cha wazo, kulia kwa waziri ni Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Bw Hans Koeppel leo Mjini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira ,Dk Batilda Burian akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kiwanda cha saruji cha Wazo Mjini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sister Batilda, Sisi watu wa Arusha, we are so so proud of you! May God bess and protect you. Amen. Maliaki Mollel.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...