Mwandishi wa Habari Mkongwe wa kampuni ya the Guardian, Mpiganaji Tryphone Blassius Mweji (katikati) akitunukiwa tuzo ya kuwa Mwanachama wa Heshima wa Klabu za Lions ( Lions club International honorary member) kutoka kwa Gavana Wilson Tumwine wa Uganda, kwenye hafla iliyofanyika jijini Dar. Anayekabidhi tuzo hiyo kwa niaba ya Gavana ni Mwenyekiti wa Baraza la klabu za Lions za Uganda na Tanzania, Bw. Safdar Jaffer
Home
Unlabelled
mpiganaji tryphone mweji atunukiwa uanachama wa heshima wa Lions Club International
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...