Wadau Wapendwa,
Naomba msaada tutani tafadhali. Nimeibiwa laptop leo and it is unlocked with all my emails, information, magazine stuff and personal stuff.
Naomba msaada tutani tafadhali. Nimeibiwa laptop leo and it is unlocked with all my emails, information, magazine stuff and personal stuff.
Location ilikoibiwa ni Mbezi Tangi bovu jijini Dar around 3pm It is a Dell Vostro 17inch in black. Nitatoa zawadi nono kwa atakayetoa habari za kupatikana kwake
Piga simu namba +255 754 844 578 kama utaiona.
Asante
Asante
Mdau EM
Kanunue tu ingine ndugu sahau tu hii, ndo Bongo ndugu.
ReplyDeletePole sana.
Da pole sana unanikumbusha kuibiwa kwa laptop yangu HP.kweli inauma sana na hasa ukiangalia kwamba vitu kibao unavyokuwa umehifadhi ndani mwake.tunaomba watafiti wa teknolojia kubaini machine hizi itokeapo mtu aliyeiba au hata kuuziwa ameunganisha kwenye mtandao,yaani pawepo ubunifu wa kuziregister kama tufanyavyo simu inaweza kusaidia baadhi ya watu kupata hata kama inachukua muda kuipata.Dell ya ukweli mkuu pole sana.
ReplyDeleteNyingine imeibiwa Kijitonyama, hao wanunuaji wa Laptop hizo wangelifanya 'uislamu' wa kuweka kwenye CD information zote kisha wakawatupia wenyewe kwenye sehemu.
ReplyDeleteukiwa umeinunua mpya(on the box)au on th laptop yenyewe kuna IMEI no.,nenda kaifunge shop ya DEll yenyewe and no one else will b able to use t or do anythng else kama info yako iko sensitive..but kuipata tena.mh!sidhani....
ReplyDeletePole sana ndugu..