Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akimpokea Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Uratibu na Uhusiano,Steven Wassira alipotembelea ofisi yake binafsi iliyoko wilayani Muleba,Mkoani Kagera.
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka akimuelekeza Waziri Wassira kwenye ofisi yake binafsi iliyopo Muleba,Mkoani Kagera leo.Waziri Wassira alikuwa mkoani Kagera kutembembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayoratibiwa na TASAF.
Waziri Wassira akibadilishana mawazo na Profesha Tibaijuka mara baada ya kusaini kitabu cha wageni ofisini kwake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...