Home
Unlabelled
dereva na abiria wake zenji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwani zenji hakuna bajaj?
ReplyDeleteHana pesa na anakaa mbali na hayupo tayari kuuza utu wake kwa wenye mali!
ReplyDeletebajaji zinapelekwa misaada mikoani tu sio zenji kwanii kuna serikali ya muungano kule zenji?
ReplyDeletemdau wa mwanzo sio kila mtu ana uwezo wa kununua au kukodi bajaj!
ReplyDeleteduh,unajua huyo mtoto wa nyuma mguu ukiingia kwenye spoku za tairi vidole vyote vitakatika au ,but you know what?yote maisha
ReplyDeleteNdio mwaita Mushikaki!
ReplyDeleteyaani wabara wajinga kweli
ReplyDeletesifikirii kama yy mwenyewe anataka hali hii bt ndio hivyo tena
ReplyDeletelkn na usalama wa wapakiwaji nao pia tuuangaliye