Mgeni Rasmi katika Fainali za Mashindano ya Mchezo wa Pool Taifa ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe Mh. George Simbachawene (kulia) akikabidhi kombe la ubingwa wa Taifa wa Mashindano ya Safari Lager kwa Nahodha wa Timu ya Pool ya mkoa wa Dodoma ambao ndio mabingwa wapya wa mchezo huo kwa mwaka huu.
Mgeni Rasmi katika Fainali za Mashindano ya Mchezo wa Pool Taifa ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe Mh. George Simbachawene (kushoto) akikabidhi kitata cha sh. mil 5 kwa kiongozi wa timu ya mkoa wa Dodoma ikiwa ni zawadi ya ubingwa wao huo walioupata usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Kilimani Club,mjini Dodoma.
Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscer Shelukindo (kushoto) akikabidhi kitata cha sh. mil 3.5 kwa kiongozi wa timu ya mkoa wa kimichezo wa Ilala,ikiwa zawadi ya ushindi wa pili walioupaka mkoa huo.

Mgeni Rasmi katika Fainali za Mashindano ya Mchezo wa Safari Lager Pool Taifa ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe Mh. George Simbachawene akiwa pamoja na viongozi wa mchezo wa Pool na viongozi wa TBL wakifuatilia moja ya michezo ya Fainali za Pool za Taifa kati Ilala na Dodoma iliyokuwa ikifanyika kwenye ukumbi wa Kilimani,Mjini Dodoma Usiku wa Kuamkia leo.
Kuona picha Zingine

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...