Masoud Kipanya akiwa studio jijini Washington DC akikamilisha albam yake ya 'Upuzi wa Kipanya' anayotarajia kuizindua jijini Dallas agosti 6, 2011 na siku itayofuata atazindua tena jijini Houston. |
Kipanya akionesha kava ya albamu yake |
Most read Swahili blog on earth
Masoud Kipanya akiwa studio jijini Washington DC akikamilisha albam yake ya 'Upuzi wa Kipanya' anayotarajia kuizindua jijini Dallas agosti 6, 2011 na siku itayofuata atazindua tena jijini Houston. |
Kipanya akionesha kava ya albamu yake |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Safi sana kija Masudi Kipanya,wape vipande vyao!
ReplyDeleteTunakisubiri kwa hamu hiki kitabu.
ReplyDeleteKaribu sana Dallas Masoud. Tutakuona next weekend. Kazi zako namba moja, tangu hizo siku. Tunashukuru kwa uelimishaji wako na kuchagua Dallas kama mahala pa kuanzia hapa Marekani!
ReplyDeleteKaka naona upo kwenye room ya hotel yako una review kazi zako, hongera.
ReplyDeleteKILA LA KHERI KAKA.
ReplyDeleteCHUWA