Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Balozi Fulgence Kazaura akimtukunu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete digrii ya Heshima ya Udaktari wa sheria(Doctor of Laws Honoris Causa) wakati wa Mahafali ya Arobaini na moja ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana.Wakati wa Mahafali hayo Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda alitunukiwa digrii ya Heshima Ya Udaktari wa Fasihi(Doctor of Literature Honoris Causa).Kushoto ni makamu mkuu wa Chuo Profesa Rwekaza Mukandala.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya shukrani muda mfupi baada ya kutunikiwa Digrii ya Heshima ya Udaktari wa Sheria(Doctor of Laws Honoris Causa) katika Mahafali ya Arobaini na moija ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam iliyofanyika katika jana katika ukumbi wa mlimani city Picha ma mdau  Freddy Maro wa Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Ongera Dr.Dr.Dr.Dr.Kikwete

    ReplyDelete
  2. Naragein!

    ReplyDelete
  3. ahha ndo maaana M7 alikuja Dar tena daa kama raia wa bongo kama miaka ile ya 70 kule moshi

    ReplyDelete
  4. HONGERA BABA WA TAIFA,

    ReplyDelete
  5. kweli mkuu wetu kiliza kila kukicha anapata za uzamili tu tena nchi hio hio anayoingoza inimradi haitwe doctor aingie class basi

    ReplyDelete
  6. tunakukumbuka baba wa taifa ,pamoja na kututawala kwa miaka lukuki ulibakia kuwa mwalimu, ndio maana mpaka leo tuna upendo wa dhati kutoka miyooni mweti wewe.

    ReplyDelete
  7. wewe nenda class mwenyewe, wivu tuu. we hata form 6 unaweza kuwa huna. Kikwete kapewa udaktari huko marekani, tena mwanzo kabla wabongo hawajampa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...