Kaimu katibu tawala wilyaya ya Mbeya Geofrey Anania akihutubia wananchi wa jiji la mbeya wakati wa Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani.
Daktari wa watoto toka hospital ya rufaa mbeya Dr. Brenda Anosike akielezea jinsi ya kuwatunza watoto waliopata maambukizi ya ukimwi.
Afisa mtendaji kata ya ilomba akipokea boksi la kondom toka kwa mgeni rasmi.
Wanafunzi wa shule ya msingi wakiimba kwa huzuni wimbo wa kuwakumbuka waliokufa kwa ukimwi.Picha na Mbeya yetu Blog.
True emotions jamani...watoto wanalia kikweli kweli. Tujirudi kwenye tabia zetu tutokomeze hili gonjwa wajameni.
ReplyDeleteHii inanikumbusha kipindi cha maombolezo ya Nyerere watoto walikuwa wakiangua vilio kwenye TV si mchezo! so sad
ReplyDeletenilikupo kwenye hafla hii walipo anza kulia na wimbo nao ukafa hapohapo kwa kwikwi,na vilio hata kwa wageni waalikwa!
ReplyDeleteKazi ya muthungu
ReplyDelete