Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani Mh. Mbaraka Abdulwakil, akitoa zawadi kwa mmoja wa wahitimu wa Chuo cha Polisi mjini Mochi leo. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Saidi Mwema,
Gwaride likipita mbele ya mgeni rasmi kwa mwendo wa haraka likitoa heshma. Picha zote na Mohammed Mhina wa Jeshi la Polisi
Hongera sana Rojas Mlay najua upo hapo. Uwe solder wa mfano.
ReplyDeleteHuyo kamanda wa pili hiyo kofia vipi au macho yangu tu kama si usanii.
ReplyDeletewakati wa kwenda kupokea kitu kidogo umefika.
ReplyDelete