Mwanahabari Francis Godwin ambaye ni naibu katibu mkuu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) akitoa maelekezo mbele ya wanahabari mkoa wa Iringa (hawapo pichani) juu ya jitihada zilizofanywa na vyombo vya habari nchini katika kuibua habari za ukatili wa kijinsia wakati wa mafunzo ya siku moja yaliyoandaliwa na AFNET na kufanyika mjini Iringa
Mkurugenzi wa AFNET Bi Sarali Mwaga( wa tano kulia) akiwa na wanahabari wa kutoka vyombo mbali mbali mkoa wa Iringa mara baada ya kumalizika kwa mafunzo ya siku moja ya uandishi wa habari wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia hapa nchini
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...