Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment,Evans Bukuku akifanya vitu vyake usiku wa kuamkia leo kwenye shoo yake ya kina jumanne ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kwenye kiota cha Nyumbani Lounge,Jijini Dar esa Salaam.
Hapa akiimba moja ya nyimbo zake za vituko ambayo ukiisikiliza waweza pasuka kabisa kwa kucheka.
Dogo pepe nae akikaa stejini lazima ukae,maana nae ni mkali sana wa kuvunja mbavu.
Enika nae ndani.
Wazee wa Kazi wakiwajibika. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2012

    over-employment

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 27, 2012

    ungetuwekea clip japo tumuone na kumsikia ingekuwa poa sana michuzi kwa sisi wadau wa njee ya nchi

    mdau new york

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...