Familia ya marehemu Moses Has Pope aliyefariki Juni 7, 2012 wakiwa katika picha ya pamoja baada ya shuguli ya mazishi katika makaburi ya Mkanyageni katika manispaa ya Iringa. Picha na Francis Godwin
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Ni yule alokuwa jeshini those days; Airwing??
ReplyDeleteHapana huyo ni mdogo wake aliyekuwa airwing ni rubani Capt Harry hans poppe, pia ni mdogo wa zakaria hans poppe gwiji la mafuta na rafiki wa simba club.
DeletePoleni sana wafiwa.
ReplyDeleteSamahani kwa anayejua; Hivi familia hii ndio ya marehemu aliyekuwa mkuu wa Polisi mkoani Kagera, aliyeuawa na majeshi ya Idd Amin kwa kisingizio kuwa ni Jasusi wa Kichina?
Ndio huyo,baba yao aliuwawa na Iddi Amini na alihifadhiwa kwenye friji mpaka tulipoigomboa kagera mwaka 1979 ndipo tuliukuta mwili wake kwenye fridge na tukaurudisha nchini kwa maazishi
ReplyDeleteMoses tutakukumbuka kwa ukarimu upole na huruma mwenyezi mungu ailaze roho yako mahali pema peponi
ReplyDeleteMoses Mola akurehemu.
ReplyDelete