Vijana na wazee waliomiminika viwanja vya michezo vya Jangwani leo katika mkutano wa hadhara wa CCM Mkoa wa Dar es salaam uliodhihirisha kwamba Chama Tawala kinazidi kukonga nyoyo za wengi
 Vaa Uzalendoooooooooooo.....!!!
 Nyomi Jangwani
Nape Nnauye akihamasisha kwenye mkutano huo, Kushoto ni Mlezi wa mkoa wa Dar, Mzee Abdulrahman Kinana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 09, 2012

    Haya mambo yameanza kumekucha. Tuone CHADEMA sasa karibuni Jangwani lakini noti mnazo. Huko Lindi mnakojitanafasi tutawamaliza siku moja kadi zote zitarudi hizo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 09, 2012

    Kweli CCM chama kubwa haina mpinzani,yaani umati huu wote ! harafu hizi sare zao na pale Jangwani
    zimefiti kweli kweli

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 09, 2012

    eeh wamesombwa na malori, kwani wametokea mikoani? au walipakizwa humo kwa bakora? Ni mkutano wa CCM Jangwani. chadomo mlitaka uhudhuriwe na wakazi wa Magomeni pekee au?Ndo mjue tupo, msione tupo kimya mkaendelea kujifariji na kelele na uongo wenu, sasa ni uzalendo kwa kwenda mbele wizi na uongo wenu tumeustukia

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 10, 2012

    dunia hadaa malimwengu shujaaa.... ccm oyee

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 10, 2012

    I think CCM remains to be a stronger party and most popular in Tanzania. Chadema and other parties lack strong roots, having said so, the method and ideas being used by Chadema to criticize CCM at all given times is a confirmation that the party has a short life span. When CCM does well, they should also come out and praise the good deeds. Failure to do so, they are bound to head for a road of no return.
    Zanzibar

    ReplyDelete
  6. Its time for the rhetoric to stop, this could put us in bad place. Chagema and CCM have to stop this trend of petty party politics at this especially when the time for election is over , they have to let the citizen to carry on with their day to day struggles and for the parties isn't this the time for them to deliver what they have promised instead of going round the country planting the seeds of divide and rule? We do not need the party leaders telling us what is happening in the country while the journalist are doing excellent work on that. The politician jobs after the election is to fulfill what they have promised and not using these rallies as a new methods to prosper themselves on bonuses and etc. perharps this is their new venture of making money and keeping TUKURUKU at the arms length. Just for those interested on research look on how many hours just this year have been lost on productive activities and instead used in attending these rallies. On other side just imagine if the amount of people gathered at Jangwani were to lift one piece of litter in the street of the city may be just may be for atleast one day the city of example for Africa. Lets use our time in production rather than confrotational politics. Just a thought

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...