Bwana Amini S. Mwanga wa Chuo Kikuu Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake bwana Wilson Stephano Kidavi (pichani) kilichotokea tarehe 8 june 2012 huko Kibaha mkoa wa Pwani. Mwili wa marehemu umesafirishwa leo Juini 10, 2012 kwenda Ugweno, Kilimanjaro, kwa ajili ya mazishi yatakayo fanyika kesho Juma tatu tarehe Juni 11, 2012. Habari ziwafikie wana ukoo wote wa Mwanga, ndugu, jamaa, marafiki na wanafunzi walio soma na marehemu Kibaha Sc School na wafanya kazi wenzake, wana Kibaha pamoja na marafiki wa Kaka zake Dada zake pamoja na mashemeji wote
Bwana ametoa, Bwana ametwa
Jina lake lihimidiwe
AMEN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...