Makamu wa Pili wa Rais wa Seriakli ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Balozi Seif Ali Idi akimkabidhi cheti pamoja na tuzo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk Ramadhan Dau baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka wa TANTRADE, Samuel Mvingira akizungumza wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Viwanda Biashara na Masoko, Dk Abdallah Kigoda akizungumza katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk Ramadhan Dau akiongea na Waandishi wa Habari muda mfupi baada ya kukabidhiwa tuzo na cheti cha Ushindi wa Jumla katika maonyesho ya 30 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk Ramadhan Dau akiwa pamoja na Maafisa wengine wa NSSF wakifuatilia Hotuba ya Ufunguzi wa Maonyesho hayo.

 BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 04, 2012

    Big up ndugu yangu. Jicho la husda lisikupate inshaallah. Ukisimama na nguzo ya allah na yeye anakusimamia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 04, 2012

    tangu naanza kwendakuangalia maonesho haya naona hili shirika kila mwaka linachukua tuzo.hongereni kwa hilo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 04, 2012

    Hongera sana team NSSF chini ya uongozi mahiri wa kamanda mzalendo asiye jua kujikweza DR Rama Dau.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...