Boris Bunjak kocha mkuu mpya wa timu ya Azam FC akipiga picha wakati alipotambulishwa rasmi na uongozi wa timu hiyo leo jijini Dar es salaam, Boris Bunjak raia wa Serbia aliyezaliwa mwaka 1954 amesaini mkataba wa kuitukimia Azam FC kwa muda wa miaka miwili akiiitumikia timu hiyo, Boris Bunjak amefundisha timu mbalimbali katika nchi za kiarabu na amewahi kuchezea timu ya taifa ya Serbia na vilabu mbalimbali huko Ulaya Mashariki amewahi kufanya kazi pia katika chama cha soka cha Yugoslavia mwaka 1993-1994 na kazi nyingine nyingi kuhusiana na masuala ya soka.
Home
Unlabelled
azam yapata kocha mpya toka serbia baada ya kumtimua stewart hall wa uingereza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hicho kichwa cha khabari neno moja la mwanzo kabisa limekosewa, muhariri umeandika AZMA nadhani ulikusudia AZAM kama ntakuwa sahihi, in case am wrong as well, my apology in advance.
ReplyDeleteN.B. Ukirekebisha kimya kimya, huna haja ya kutowa 'comment' yangu tafadhali.
Azma imepata kocha.... ataitukimia.
ReplyDeleteKuteleza kwa vidole huko. Kabla ya kutuma ni vyema kupitia tena maandishi hayo.