Wapiganaji Francis Sengo (wa pili kushoto) na Bi Jackline Mkomange wakiwa na wapambe wao Mpiganaji Gerson Msigwa wa TBC One (kushoto) na Catherine Nyoni Msigwa (kulia) baada ya kumeremeta katika kanisa la familia takatifu Bombambili Songea. Maharusi ni watangazaji wa kituo cha Radio jogoo cha mjini Songea.
Home
Unlabelled
Wapiganaji Francis Sengo na Bi Jackline Mkomange wameremeta Songea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...