Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Uganda Nchini Tanzania Bw.Ibrahim Mukiibi,alipofika leo Ikulu Mjini Zanzibar,kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi wa Uganda Nchini Tanzania Bw.Ibrahim Mukiibi,alipofika leo Ikulu Mjini Zanzibar,kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi.Picha na Ramadhan Othman, Ikulu Zanzibar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...