Wahitimu wa Stashahada ya Uongozi ya Uhandisi wa Chuo cha Bandari wakibadilishana mawazo wakati wa mahafali ya 13 yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Stella Mutayaba, Kenny Mwaisabula na Kaseko Malongo.
Kenny Mwaisabula akiwa na tabasamu wakati wa mahafali ya 13 ya Chuo cha Bandari yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. (Picha zote na Habari Mseto Blog)
Hongera! Hongera! kwa Wahitimu wote.
ReplyDelete