Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Mhe. Pierrot Jocelyn Rajaonarivelo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar. Mhe. Maalim na Mhe. Rajaonarivelo wapo nchini India kuhudhuria Mkutano wa Mawaziri kutoka Nchi Zinazopakana na Bahari ya Hindi (Indian Ocean Rim-IOR)
Mhe. Maalim akisalimiana na Mhe. Abu-Bakr Al-Qirbi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen wakati wa Mkutano wa Mawaziri kutoka Nchi Zinazopakana na Bahari ya Hindi unaoendelea nchini India
Mhe. Maalim akipata picha ya kumbukumbu  na Mhe. Jean-Paul Adam, Waziri wa Mambo ya Nje wa Shelisheli mara baada ya kumaliza mazungumzo yao. Mawaziri hao wapo nchini India kuhudhuria Mkutano wa Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi.
Mhe. Maalim (katikati) katika picha ya pamoja na  Mhe. Jean-Paul Adam (wa pili kutoka kushoto), Waziri wa Mambo ya  Nje wa Shelisheli na Mhe John Kijazi (wa pili kutoka kulia), Balozi wa Tanzania nchini India  na wajumbe wengine wanaoshiriki Mkutano wa Mawaziri wa Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...