Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Aunty Sporah..... tuachie sisi wanawake wa kibongo bwana... Kwa raha zetu, tunapitia kitchen party mchezo, sio bure hizo ati... mchango elfu 50 kila wiki...

    ReplyDelete
  2. Lewis - CanadaDecember 23, 2012

    Sporah anajitaidi sana ila naona kama MABLOG mengi hawampi support, naona ni Mtanzania anaefanya mambo makubwa sana ughaibuni lakini huku nyumbani hatumu appreciate yakivile. Mi napita tu, show nimeipenda.

    ReplyDelete
  3. we sporah mambo ya wanawake kulipa bills usituletee huku bongo, hayo mambo yenu ya ulaya huko babu eee!

    ReplyDelete
  4. Wachaga wasiku hizi wanajua shughuli kuliko hata Wauswazi.

    ReplyDelete
  5. Napenda sana Anavovaa Sporah na nywele zake always on point.

    ReplyDelete
  6. Lina Mushi.........Sio nywele zake ni za bandia, hakuna mwafrika mwenye nywele za namna hii.

    ReplyDelete
  7. Ndiyo sababu dada zetu wanaishi ktk diaspora wanashangaa boyfriend akidai kodi kila wiki ikiwa kama mchango wa kulipia mortgage ktk nyumba bibie anayokaa na boyfriend wake.

    Wanawake wa Bongo na afrika hawawezi kasi ya ukweli juu ya 'usawa' kuwa lazima mwanamke achangie pesa ktk kila suala wakati wao waafrika wanawake wamezoea kulipiwa kila kitu huku wakidai usawa wa jinsia bila kuambatana na vitendo yaani kuchangia gharama.

    Mdau
    Anayekwenda na kasi ya usawa wa jinsia ktk Diaspora

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...