Mkuu  wa Chuo Kikuu Mzumbe, Jaji Mstafu Barnabas Samatta akiongoza maandamano ya chuo kuashiria kufungua maahafali ya 11 ya Chuo hicho akiwana Makamu Mkuu wa Chuo hicho,Profesa Joseph Kulizwa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho Profesa Daniel Mkude.
 Mkuu  wa Chuo Kikuu Mzumbe, Jaji Mstafu Barnabas Samatta akimtunuku shahada ya uzamivu (PhD),Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji, Diodorus Kamala katika Mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu Morogoro Ijumaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...