Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Jaji Mstafu Barnabas Samatta akiongoza maandamano ya chuo kuashiria kufungua maahafali ya 11 ya Chuo hicho akiwana Makamu Mkuu wa Chuo hicho,Profesa Joseph Kulizwa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho Profesa Daniel Mkude.
Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Jaji Mstafu Barnabas Samatta akimtunuku shahada ya uzamivu (PhD),Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji, Diodorus Kamala katika Mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu Morogoro Ijumaa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...