Fuso lenye usajili namba T453BGF likiwa limenasa kwenye korongo karibu na culvert kwenye barabara ya Sitalike –Usevya-Majimoto-Mamba. Korongo hilo lilisababishwa na maporomoko ya maji kutoka milima ya Ufipa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo. Fuso hilo lilikuwa likitoka Sumbawanga kwenda Kilida lilisababisha magari kukwama kwa saa kadhaa.
Baadhi ya vijana wakijaribu kupanga mawe chini ya gari aina ya Fuso lenye usajili namba T453BGF ambalo lilikwama kwenye korongo lililosababishwa na mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia leo. Fuso hilo lilikuwa likitoka Sumbawanga kwenda Kilida lilisababisha magari kukwama kwa saa kadhaa. (Picha na Irene Bwire wa OWM)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. barabara duni ndio zinazotufanya tuwe na uchumi mbovu mbali na rushwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...