Ngoma za taifa kwenye madisko zilikuwa kedekede na kila zinapopigwa alikuwa hakai mtu chini, mfano hawa jamaa wa Odyssey na hii ngoma ya 'Going Back to My Roots'
Home
Unlabelled
ngoma azipendazo ankal
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Si munaona zamani wakina mama waivyokuwa wanavaa kiheshima kabisa hapo kwenye steji.
ReplyDeleteImekuwaje leo vivazi havieleweki?
Hii ngoma bado kali hadi hii leo!za siku hizi mchemsho tu,baada ya mwezi,umedoda!vijana wa zamani walituliza vichwa na kupanga mistari,na beat yenyewe ilifanyiwa mazoezi ya kufa mtu kama haijawa released!hakuna kukurupuka!
ReplyDeleteKama una noti, zilete leo zishindane na maua.... Kama sio hivyo andika wanavyoimba :)
ReplyDelete" Achimwene, achimwene,achimwene, achimweneeee", checki sisterdooo, amevaaa tinabuuuu!
ReplyDelete