kikosi cha Elias FC
kikosi cha robert FC
wachezaji wa timu ya Robert FC iliyovaa jezi za blue wakiwa
wasalimiana na wachezaji wa timu ya Elias Fc zote zikiwa ni timu za
wakurugenzi wa Kituo cha Radio 5 cha Jijini Arusha kabla ya kuanza mechi ya fainali ya
bonanza la Uhuru day lililokuwa limeandaliwa na kituo hicho katika Uwanja cha General tyre jijini humo.Hadi mwisho wa mchezo matikeo yalikuwa ni Elias FC 2-0 Robert Fc.
Mmoja wa wachezaji wa timu ya Robert Fc akiwa anachuliwa mguu mara baada ya kuumia wakati akicheza kinachofurahisha zaidi mchezaji huyu aliumia mara tu alipoingia kucheza mpira dakika tano hazikuisha ila mwishowe alirudi kusakata kabumbu
kilichofurahisha zaidi hadi watangazaji wa kike walijitokeza kusakata kabumbu.
Mara baada ya mchezo kumalizika wachezaji watimu ya elias FC waliamua kuunganika pamoja na wapinzani wao Robert FC na kupiga picha ya pamoja wakiwa na kombe pamoja na wakurugenziwa wao
wachezaji wa timu ya Elias Fc wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kushinda
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...