Watanzania wote Mnaoishi Uingereza, Wales, Scotland na Irelandmnakaribishwa ktk sherehe za miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania. Sherehe hii itafanyika ukumbi wa The Royal Regency, High street North, Manor Park, London, E12 6TH
Home
Unlabelled
sherehe za uhuru london
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ahsanteni sana Watanzania wenzetuu kwa kujali nchi yetu bila uoga. Endeleeni kuitangaza nchi yetu kwa mema na uzuri wake. Hiyo siku basi mpate muda wa kutangaza maeneo yote muhimu ya TZ ya utalii kwa wageni wenu ili wapate muda wa kuja na kujionea na ndio pato letu. Mbarikiwe ila Miaka 51 ya uhuru na siyo 52 kama ilivyoandikwa na mwandishi.
ReplyDeleteMichuzi ukipewa habari uwe unaangalia vizuri kabla haujarusha, mbona hapo mmeandika miaka 52 wakati ni 51 ya Uhuru. Hayo ndo maoni yangu.
ReplyDeleteNi mimi from Zenj
haya maneno narejea tena kama nilivyoandika katika habari iliyopita "Mimi katika kusoma kote, japo kichwa changu kilikuwa kibovu kwenye historia, lakini sijawahi kusikia Tanzania kama iliwahi kutawaliwa, huu ni upotoshaji wa historia yetu, kwasababu Tanzania imezaliwa mwaka 1964 wakati uhuru ulikuwa 1961...sasa ukisema Uhuru wa Tanzania munamaanisha nini? ninavyojua mie Tanganyika na Zanzibar ndio zilizotawaliwa na kupata uhuru lakini si Tanzania hivi vitu viwili kwa vitatu tofauti.....TUACHENI KUPOTOSHA HISTORIA YETU, tufanyeni kama wanavyofanya wazanzibari, ikifika siku ya mapinduzi wanasherehekea SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR sio MAPINDUZI YA TANZANIA".
ReplyDelete