Wahitimu 1147 wa Chuo Kikuu cha Stella Maris Mtwara ambacho
ni chuo kishiriki cha Saint Augustine (SAUT) wamekula nondozzz katika
mahafali yaliyofanyika mjini humo. Mgeni rasmi alikuwa Naibu
Waziri wa Kazi na Ajira Dk. Makongoro Mahanga.
Naibu Waziri Waziri wa Kazi na Ajira Dkt. Makongoro Mahanga akihutubia katika mahafali ya kwanza ya SAUT Mtwara yaliyofanyika mjini Mtwara
Wahitimu wakiivaa kofia ya alama ya kula nondozzzz katika mahafali hayo
Mdau Benjamin Thompson akimpongeza mdogo wake Sikitu Jackob kwa kulamba nondozzz...
Mara baada ya sherehe hizo wahitimu na jamaa zao walijiandalia sherehe ndogo ndogo kama hizi mjini Mtwara katika kumbi na hoteli mbali mbali mjini humo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...