Mwnyekiti wa jumuiya ya wanafunzi wa TZ wanaosaka nondozzz jijini Beijing nchini China PHILIP DANINGA DANIE akisisitiza jambo wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 51 ya uhuru wa TZ bara.
Wadau ambao wanasaka nondozzz huko wakipata mlo wa jioni wakati wa mnuos waliojiandalia kusheherekea miaka 51 ya Uhuru jijini Beijing.
Mnuso unaendelea. Kulia ni mdau Fatuma Matulanga wa TBC aliyetuletea taswira hizi. Yeye anasaka nondozzz ya masters ya GLOBAL BUSINESS JOURNALISM
ReplyDeleteChakula kizuri, hakuna chura au mjusi hapo?
na nyie mmeanza kula kwa vijiti siku hizi kudadadeki anglia si itachukua siku tatu kushiba acheni usharo.. nyie pigeni kwa mikono tu wazee vipi
ReplyDeleteHahahaha Watanzania China huko msije mkala supu ya Kenge na Juisi ya jasho la kuku,,,nyie jazeni machupa ya majuisi mezani.
ReplyDeleteMchina si mnamjua kwa kufoji?