Katibu
Mkuu,Ndugu.Abdulrahman Kinana akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya Mpya ya
Kokonko Bwa.Peter Toima (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa halmashauri ya
Kibondo/Kokonko Bwa.Juma Magango (shoto) na baadhi ya Wanachi
wakielekea kukagua Mradi wa daraja la Umoja ulioibuliwa na Wananchi
wa Kijiji cha Nyabibuye mwaka 2011,ikiwa na lengo la kurahisisha biashara ya
mazao ya kilimo na bidhaa nyingine kati ya wananchi wa Nyabibuye na vijijini
vya Mishiha nchini Burundi,Mradi wa daraja hilo ni sehemu ya mpaka kati ya
Tanzania na Burundi liofadhiliwa na serikali ya Japan kwa ushirikiano na
Serikali ya Tanzania kupitia Tanzania/Japan Food Aid Counterpart Fund.Mradi huo
unajengwa na Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kupitia ofisi ya Umwagiliaji
na huduma za ufundi kanda ya Magharibi kwa kushirikiana na Halmashauri ya
Wilaya ya Kibondo na Wananchi wa kata ya Nyabibuye.
Wakielekea kukagua ujenzi wa mradi wa darja la pamoja.
Pichani ni Mradi wa daraja la Umoja ulioibuliwa na Wananchi wa Kijiji cha Nyabibuye mwaka 2011,ikiwa na lengo la kurahisisha biashara ya mazao ya kilimo na bidhaa nyingine kati ya wananchi wa Nyabibuye na vijijini vya Mishiha nchini Burundi,Mradi wa daraja hilo ni sehemu ya mpaka kati ya Tanzania na Burundi liofadhiliwa na serikali ya Japan kwa ushirikiano na Serikali ya Tanzania kupitia Tanzania/Japan Food Aid Counterpart Fund.
Mradi huo unajengwa na Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kupitia ofisi ya Umwagiliaji na huduma za ufundi kanda ya Magharibi kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo na Wananchi wa kata ya Nyabibuye.
Mradi huo unaotarajiwa kukamilika februari 20,2013 utagharimu kiasi cha shilingi 260,000,000/=,aidha imeelezwa kuwa mradi huo utatekelezwa kwa awamu nne,awamu ya kwanza imeshaanza ambayo unahusisha ujenzi wa daraja,barabara KM1 inayotoka kwenye soko hadi darajani na hifadhi ya Mazingira,utekelezaji wa awamu ya kwanza umefikia 70% mpaka sasa.
Katibu Mkuu,Ndugu.Abdulrahman Kinana akisalimiana na Msimamizi wa Mradi kanda ya Umwagiliaji kutoka Mkoani Tabora,Alfred Swai alipokwenda kukagua mradi wa ujenzi wa daraja la Umoja ulioibuliwa na Wananchi wa Kijiji cha Nyabibuye mwaka 2011,ikiwa na lengo la kurahisisha biashara ya mazao ya kilimo na bidhaa nyingine kati ya wananchi wa Nyabibuye na vijijini vya Mishiha nchini Burundi.
Msimamizi wa Mradi kanda ya Umwagiliaji kutoka Mkoani Tabora,Alfred Swai akitoa ufafanuzi mbele ya Katibu Mkuu,Ndugu.Abdulrahman Kinana kuhusiana na ujenzi wa Mradi wa daraja la Umoja ulioibuliwa na Wananchi wa Kijiji cha Nyabibuye mwaka 2011,ikiwa na lengo la kurahisisha biashara ya mazao ya kilimo na bidhaa nyingine kati ya wananchi wa Nyabibuye na vijijini vya Mishiha nchini Burundi,Mradi wa daraja hilo ni sehemu ya mpaka kati ya Tanzania na Burundi liofadhiliwa na serikali ya Japan kwa ushirikiano na Serikali ya Tanzania kupitia Tanzania/Japan Food Aid Counterpart Fund.Mradi huo unajengwa na Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika kupitia ofisi ya Umwagiliaji na huduma za ufundi kanda ya Magharibi kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo na Wananchi wa kata ya Nyabibuye.
Jengo la Soko la Pamoja lililokaguliwa na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana mapema leo jioni,ikiwa
na lengo la kurahisisha biashara ya mazao ya kilimo na bidhaa nyingine
kati ya wananchi wa Nyabibuye na vijijini vya Mishiha nchini Burundi.Picha na habari zaidi bofya JIACHIE BLOG.
Tunaposema chama kinaunda serikali maana yake shughuli zote za kiutendaji zitaongozwa kwa ilani ya chama kilichoshinda kwa kuunda serikali ambayo kinaamini kwamba ilani itatekelezwA na report ya utekelezaji itatolewa kupoitia vikao vya chama na ndio maana kuna wakuu wa mikoa na wilaya ambao wote ni mawakala wa CCM kuhakikisha ilani ya chama inatekelezwa. NINA MASHAKA NA HUU UTARATIBU MPYA WA CCM WA KWENDA KUKAGUA SHUGHULI ZA MAENDELEO NA KUTOA MATAMKO MAKALI WAKATI TAYARI WALISHAUNDA SERIKALI NA WALITAKIWA WAHOJI SERIKALI KUPITIA VIKAO VYAO. (hapo wanasumbua watendaji wa serikali na nahisi wengi wao wanawapokea na kutoa maelezo huku hawapendezwi pia sidhani kama ni sahihi)
ReplyDelete