Meneja Uchapishaji wa Shirika la Magazeti la Serikali(TSN) John Mcharo(kushoto) akitoa maelezo kwa Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara(wa pili kushoto) jinsi wanachapisha magazeti leo jijini Dar es salaam alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Wengine ni Mwenyekiti wa Bodi ya TSN Profesa Moses Warioba( wa tatu kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Magazeti ya Serikali(TSN) Gabriel Nderumaki (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (kulia).
Kaimu Mhariri Mteandaji wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN) Gabriel Nderumaki akitoa maelezo kwa Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara(katikati) jinsi wanavyohariri habari mbalimbali leo jijini Dar es salaam alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali.
Kaimu Mhariri Mtendaji wa Shirika la Magazeti la Serikali (TSN) Gabriel Nderumaki(wa pili kulia) akisisitiza jambo kwa Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara (kushoto) jana leo jijini Dar es salaam alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali. Wengini ni Mwenyekiti wa Bodi ya TSN Profesa Moses Warioba( wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Waziri wa Habari , Vijana , Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akijionesha jinsi kurasa za magazeti ya Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN) zinavyosanifiwa na wasanifu jana leo jijini Dar es salaam alipowatembelea ili kujionea shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na Shirika la Magazeti ya Serikali.Picha na MAELEZO- Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. HIVI NITOKE VIPI YA HUYU MAMA NI TWENDE KILIONI KUTWA !

    ReplyDelete
  2. Ni Natural na inampendeza. Mwanamke makini na mfano wa kuigwa. Tezama beyond utii wa Roda.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...