Mzee Yusuf 'Mfalme' akicheza kiduku na shabiki aliyepanda jukwaani.
Shabiki huyo akiwapagawisha mashabiki sambamba na wacheza shoo wa Jahazi.
Shabiki akiwapa raha wapenzi wa burudani.
...Akizidi kuonesha machejo stejini.
Mwimbaji wa Jahazi Modern Taarab, Rahma 'Machupa' akipagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Mwimbaji wa Jahazi akiwarusha roho mashabiki.
Nyomi ikiwa imepagawa na midundo ya Jahazi ndani ya Dar Live.
---
WAPENZI wa muziki wa mwambao usiku wa kuamkia leo walipata burudani ya aina yake ndani ya Dar Live wakati kundi la Jahazi Modern Taarab chini ya Mfalme Mzee Yusuf lililopokuwa likiporomosha burudani. Katika shoo hiyo, dada mmoja ambaye hakujulikana jina lake mara moja alikuwa kivutio ukumbini hapo kwa burudani aliyoitoa sambamba na wanamuziki wa Jahazi. Pichani juu ni baadhi ya matukio yaliyochukua nafasi ndani ya ukumbi huo wa maraha uliopo Mbagala Zakheem jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...