Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu (kushoto) akipokewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Twiga Cement,Pascal Lesoinne, alipokwenda   kukabidhi cheti cha uwekezaji cha mradi 
wa kokoto za kujengea wa Twiga Cement kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Ujerumani, Prof. Harald Braun (hayupo pichani)kwa niaba ya kampuni hiyo kilichotolewa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania

(TIC) katika hafla ya uzinduzi wa mradi huo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TIC,Raymond Mbilinyi.
 Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk Mary Nagu akikabidhi  cheti cha uwekezaji cha mradi wa kokoto za kujengea wa Twiga Cement kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Ujerumani, Prof. Harald Braun kwa niaba ya kampuni hiyo kilichotolewa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika hafla ya uzinduzi wa mradi huo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TIC,Raymond Mbilinyi.
Baadhi ya wageni waliohudhuria uzinduzi wa mradi huo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...