Home
Unlabelled
MJADALA UGHAIBUNI: MUSTAKABALI WA JUMUIYA ZA WATANZANIA KABLA NA BAADA YA UJIO WA MATAWI YA VYAMA VYA SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mi naona ni upuuuzi kuanzisha vyama nga'mbo hao jamaa walioanzisha wamepigika wanatafuta easy way ya kwenda bongo kwani unaeza saidia bila kua mwanachama
ReplyDeleteNi mojawapo ya mijadala muhimu sana. Pongezi kwa wote waliohusika na mawazo ya busara kutoka pande zote. Cha muhimu kama walivyosema wachangiaji kwa watanzania walioko ughaibuni no kujitambua wao kama watanzania kwanza kabla ya kiitu kingine chochote. Ancona momma wa viongozi wa kiitikadi alikuwa in denial mwanzoni lakini hatimae amekubali kuwa tatizo lipo, kwani lisemwalo lipo. Nikiwa mmojawapo wa watanzania wa ughaibuni ambapo tuna champ cha watanzania tu, nashukuru hatujafika hapo pa kuanzisha vyama vya kisiasa. Lakini endapo kama kwa bahati mbaya au nzuri tukafika hapo, tumepata ya kujifunza kutoka kwa wenzetu wa DMV kuhusiana na changamoto zinazotokana na kuwa na makundi tofauti tofauti na hasa ya kiitikadi za kisiasa..
ReplyDelete