Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Raymon Moshi
mara baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 11, 2013 akitokea Cape Town, Afrika ya Kusini, alikohudhuria mkutano wa nchi SADC.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali (kulia) mara baada ya kutua
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Mei 11, 2013 akitokea Cape Town, Afrika ya Kusini, alikohudhuria mkutano wa nchi SADC.
PICHA NA IKULU
jetset president. hachoki kusafiri
ReplyDeleteSasa Raisi wangu tembelea basi Mbezi ya kimara tukupe kero zetu? No.1. foleni ya magari njia hii tunatoka saa 11 asbh na kurudi saa 4 usiku HOI hadi haki kwa wenzetu tunashindwa kuwapa!
ReplyDeleteNO. 2. MAJI - kuna hawa jamaa wa DAWASCO wamegeuza mradi wa vioski vya maji kutukomoa! Njoo Raisi wangu kabla haijafikia mahali tuwatoe utumbo hawa jamaa huku wanajiona!
Ukiwa nacho tumia.ulitaka ajifungie ikulu.
ReplyDelete