Meneja wa Kinywaji cha Redd's Victoria Kimaro katikati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaa juu ya maandalizi ya shindano la Redd's Miss IFM 2013.
Mratibu wa Redd’s Miss IFM, Daniel Sarungi katika akizungumza na waandishi wa Habari jijini dar es salaam juu ya shindano la Redd's IFM linalotarajiwa kufanyika May 25,2013, kulia ni meneja wa Kinywaji cha Redd's Victoria Kimaro.
Warembo wa Redd’s Miss IFM wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2013

    Why looking at them "mkorogo" rings bell.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...