Mafunzo ya kuwajengea Uelewa Maafisa Habari kutoka katika Wizara zinazohusika moja kwa moja na masuala ya mazingira kuhusu Namna ya Kukabiliana na mabadiliko ya Tabia nchi . Vilevile Mpango wa Kupunguza Uzalishaji wa Hewa ya Ukaa kutokana na Ukataji Miti ovyo na Uharibifu wa Mazingira. Mafunzo haya yametolewa na Regalia Media kwa ufadhili wa REDD.
Baadhi ya Maafisa Habari katika mafunzo ya vitendo kuhusu namna ya  kupima urefu wa mti ili kuweza kujua kiwango cha kaboni iliyomo katika miti. Zoezi hili limefanyika katika msitu wa kupandwa Morogoro.
Dr. Zahabu akitoa maelekezo ya namna ya zoezi zima la kupima upana wa misitu linavyofanyika.
Washiriki wakijaribu kutumia kipimo kupima kipenyo cha mti katika mafunzo hayo
Picha zote na Asteria Muhozya, Afisa Habari  Wizara ya  Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 29, 2013

    Nakuona kweli umekuwa Kondoo siku hizi- Baba Mchungaji na Mama Mchungaji.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...