Mshindi wa droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao Bw.Mkude Iddi, mkazi wa Morogoro, (kushoto) akioneshwa ujumbe wa M-Pesa wenye  Tsh milioni 2 na Meneja Mauzo wa Vodacom Kanda ya Morogoro, Kamanda Kasapila, alizotumiwa kwa kushinda katika promosheni hiyo inayoendeshwa na Vodacom Tanzania. Mshindi huyo ni kati ya washindi 5 waliojishindia shilingi Milioni 2 kila mmoja kwenye Promosheni hiyo  inayowawezesha  wateja kuongea na mitandao yote kwa bei nafuu. Ili kujiunga wateja wanatakiwa kupiga *149*01#.
Meneje Mauzo wa Vodacom Tanzania Kanda ya Morogoro, Bw. Kamanda Kasapila (kushoto) akimshuhudia mshindi wa droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao, Bw.Mkude Iddi, akisaini baada ya kutoa fedha zake kwa njia ya M-Pesa alizotumiwa baada ya kushinda katika promosheni hiyo. Mshindi huyo ni kati ya washindi 5 waliojishindia shilingi Milioni 2 kila mmoja kwenye Promosheni hiyo  inayowawezesha wateja kuongea na mitandao yote kwa bei nafuu. Ili kujiunga wateja wanatakiwa kupiga *149*01#.
 Mshindi wa droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao Bw.Mkude Iddi, mkazi wa Morogoro (kulia) akihesabu fedha zake baada ya kukabidhiwa na Mejena Mauzo wa Vodacom Tanzania Kanda ya Morogoro, Bw. Kamanda Kasapila. Mshindi huyo ni kati ya washindi 5 waliojishindia shilingi Milioni 2 kila mmoja kwenye Promosheni hiyo  inayowawezesha  wateja kuongea na mitandao yote kwa bei nafuu. Ili kujiunga wateja wanatakiwa kupiga *149*01#.


Baadhi ya waandishi wa habari wakimfanyia mahojiano mshindi wa droo kubwa ya promosheni ya Cheka Nao Bw.Mkude Iddi, mkazi wa Morogoro (kulia) baada ya kukabodhiwa shilingi milioni mbili alizojishindia kupitia promosheni ya Cheka Nao hiyo  inayowawezesha  wateja kuongea na mitandao yote kwa bei nafuu. Ili kujiunga wateja wanatakiwa kupiga *149*01#.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...